Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Friday, December 28, 2012

WANANCHI MTWARA WAFANYA MAANDAMANO MAKUBWA KUPINGA GESI KUSAFIRISHWA KWENDA DAR



Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Mtwara Mjini wakiwa kwenye maandamano makubwa waliyoyafanya mapema jana kupinga gesi kusafirishwa kwenda Dar!Wakazi hao wakiwa na mabango yao yenye jumbe mbalimbali kama uonavyo pichani


Waandamanaji wakiwa wamekusanyika kwenye moja ya uwanja mjni Mtwara mapema jana wakipinga gesi kusafirishwa kwenda jijini Dar! 




 
  Mmoja wa wakazi wa mji wa Mtwara mjini akiwa amebeba bango lake
Baadhi ya askari wakiwa kwenye gari yao wakiangalia usalama wa hapa na pale kufuati maandamano makubwa yalliyofanya na wakazi wa Mkoa wa Mtwara, mapema jana wakipinga gesi kusafirishwa kwenda jijini Dar

No comments:

Post a Comment