Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Tuesday, November 5, 2013

PICHA ZA MGOMO WA WAFANYABIASHARA MANISPAA YA LINDI...

DSC06350Wafanyabiashara wa manispaa ya Lindi wakiwasili katika Mahakama ya Mwanzo ya mjini hapa, kusikiliza shitaka la mmoja wa Wafanyabiasha alioletewa samansi ya mahakama hiyo majira ya saa 2:00asubuhi leo 5/11/2013DSC06352 
Mahakama ya Mwanzo ya Mjini Lindi ambayo ilitoa hati ya wito wa mahakama kwa mmoja wa wafanyabiashara kuja kujibu  shitaka
DSC06354

Waafanyabiashara waliokusanyika Mbele ya Mahakama Ya Mwanzo ya Mji wa lindi, wakisubiri kujua hatma ya mfanyabiashara mwenzao aliotakiwa na mahakama siku hii ya leo
DSC06376
Akinamama hawakuwa nyuma nao waliungana na wenzao katika kuhakikisha wanajua kila nyendo inayo kwenda, wakiwa nje ya Mahakama ya Mwanzo
DSC06360
Wakati huo Maduka na Masoko yote Mjini hapa Yalikuwa yamefungwa na Baadhi ya wafanyabiashara wakiwa nje ya Soko kuu na kupanga Biashara zao nje ya Soko kama inavyoonekana pichani.
DSC06361



DSC06362
Baadhi ya Wananchi wakiendelea kupata Huduma hafifu katika soko kuu Mjini Lindi kufuatia mgomo wa Wafanyabiashara wa Mji huu.
DSC06365
Mandhari ya Mji Leo asubuhi ukionekana hivi ukiwa hauna pilika pilika za watu kufuatia mgomo wa wafanyabiashara, Maduka na Masoko na Stationary zote zimefungwa hakuna huduma inayotolewa na wafanyabiashara wako katika Mahakama Ya mwanzo kujua hatma ya Mfanyabiashara mwenzao pamoja na Mambo mengine wanayo yalalamikia kuhusiana na Kodi mbalimbali
DSC06371
DSC06372
DSC06374
DSC06375
Chanzo: Lindi yetu

No comments:

Post a Comment