Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Monday, November 11, 2013

TANGAZO LA KIFO BUNGENI DODOMA LEO.....

Katibu wa Bunge, anasikitika kuwataarifu kifo cha mtumishi wa Ofisi ya Bunge ktk idara ya shughuli za Bunge, Mkurugenzi Msaidizi Ndg. Anselm L. Mrema kilichotokea jana usiku tarehe 10.11.2013 ktk hospitali ya mkoa, Dodoma.

 Ofisi inaendelea na taratibu za mazishi kwa kushirikiana na familia ya marehemu, tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kutokana na msiba huo. 

 Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe. Amen! 


 11.11.2013.

No comments:

Post a Comment