Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Friday, November 22, 2013

WAZIRI WA HABARI,VIJANA NA UTAMADUNI Dkt.FENELLA MUKANGARA AFUNGUA BODI YA MPYA YA BASATA DAR ES SALAAM

 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara akihutubia wageni waalikwa hawapo pichani wakati wa hafla ya kuzindua Bodi mpya ya Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA)  jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara wa pili kushoto akipokea zawadi ya picha za Tingatinga kutoka kwa Mwenyekiti wa Baraza la Sanaa la Taifa Prof. Penina Mlama wakati wa hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Basata.Kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Utamaduni Prof. Hermans Mwansoko na wa mwisho kulia ni Kaimu Katibu Mtendaji wa Basata Bwana Gedfrey Mngereza. 
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara ( waliokaa katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Basata mara baada ya uzinduzi wa Bodi hiyo jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt. Fenella Mukangara  akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa BASATA alipo kuwa mgeni rasmi katika hafla ya uzinduzi wa Bodi ya BASATA  jijini Dar es Salaam.
Mzee Jangala mwenye Kibaraghashia na wadau wengine wakifuatilia hafla ya uzinduzi wa Bodi ya Basata  jijini Dar es Salaam


No comments:

Post a Comment