Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Thursday, December 12, 2013

HIVI NDIVYO MBOWE ALIVYOUKWAA UENYEKITI WA CHADEMA

Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe tarehe 09/12/2013 alishiriki kwenye kongamano la maadhimisho ya miaka 52 ya Uhuru lililoandaliwa na Baraza la Vijana la Chama hicho (BAVICHA) katika Ukumbi wa Hotel ya Landmark jijini Dar es Salaam. 

Na hii ni sehemu ya aliyoyasema katika hotuba yake aliyoitia katika kongamano hilo.

No comments:

Post a Comment