Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Thursday, December 19, 2013

KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI CHAFANYIKA MKOANI TANGA L EO.


 katikati waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais Mazingira Mh Ddkt Terezya Huvisa kulia ni katibu mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Sazi Salula na kushoto ni katibu mpya wa Baraza la wafanyakazi Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Isaya Kisiri,katika kikao cha Baraza la wafanyakazi la ofisi hiyo mjini Tanga leo.
Waliokaa, katikaTi ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira Mh. Dkt Terezya Huvisa katika picha ya pamoja na wajumbe wa baraza jipya la wafanyakazi la Ofisi hiyo jijini Tanga leo...Picha na Evelyn Mkokoi.

 Wajumbe wa baraza jipya la wafanyakazi kutoka ofisi ya makamu wa rais katika kikao cha baraza hilo mjini tanga leo.
kwa hisani ya jiachie blog

No comments:

Post a Comment