Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Friday, May 9, 2014

NEWS::WANUSURIKA KIFO NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI BAADA YA KUFANYA UPORAJI


 kijana ambaye ni kibaka ameshikilia pikipiki waliyo tumia kufanyia uhalifu
 kipigo kikali mtaloni na kuona haka kadaraja ni sehemu ya kujistili
kibaka akiwa amepokea mavuno ya kazi yake
 vijana wawili ambao ni vibaka wamejeruhiwa vibaya na kunusurika kifo baada ya  wananchi wenye hasira kali kuwaachia kichapo ambapo kipigo hicho kimewafikia baada ya vijana hao kumvamia dada mmoja aliyekuwa akitokea bank ya acces kijitonyama majira jion siku ya leo na kuweza kumpora begi dogo alilo kuwa ameweka vitu vyake 

baada ya vijana hao kufanya uharifu huo ambapo walikuwa na usafiri wa pikipiki walianza kuondoka kwa kukimbiza pikipiki hiyo ndipo msamalia mmoja ambaye hakuweza kufahamika jina lake aliamua kuchukua gari lake aina ya toyota carina na kuweza kuwakimbiza na kuigonga kwa nyuma pikipiki hiyo na vijana hao kuweza kuanguka na kukamatwa ndipo walipo anza kuwa kugawiwa zawadi za kazi yao
hatimaye maisha yao kuokolewa na vyombo vya usalama vilipoweza kufika na kuwasaidia vibaka hao wakiwa hoi na kuweza kunusurika na kifo

No comments:

Post a Comment