Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Friday, May 23, 2014

SIMU YA MKONONI YAZUA UGOMVI LEO TUKIO HAPA

 

KATIKA pitapita ya kamera yetu leo mtaani imewanasa vijana wawili wakipigana hadharani kisa kikidaiwa kuwa ni simu ya mkononi.Vijana hao walikuwa wakipigana maeneo ya Bamaga-Sinza, Dar ambapo walijaza watu

 ambapo ilidaiwa kwamba mmojawapo ni fundi wa bajaji ambaye aliachiwa simu rehani na kumpa huyo kijana shilingi elfu mbili lakini baada ya kurudi na kutaka arudishiwe simu yake akakuta amebadilishiwa hali ambayo ilisababisha washikane mashati na kuanza kupigana huku wakijaza watu kibao

No comments:

Post a Comment