Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Tuesday, June 17, 2014

AFIA KWENYE KITUO CHA DALADALA MANZESE JIJINI DAR

...kama vile kalala kumbe ndiyo kafa.Mmoja wa mashuhuda wa tukio.Mtendaji wa eneo hilo na baadhi ya Wasamaria wakiufunika mwili wa marehemu.

Mtendaji wa kata ya Midizini-Manzese Bw. Penford Kizo akiwa mahali pa tukio.

KIJANA mmoja wa kiume aliyedaiwa kuwa ni mfanyabiashara ndogondogo amekutwa amefariki katika kituo cha mabasi yaendayo kasi Manzese, jijini Dar, leo asubuhi.  Inasemekana vijana wengi huwa wana tabia ya kulala ndani ya vituo hivyo kwa hiyo watu iliwachukua muda mrefu kubaini kama amefariki.
Kwa mujibu wa mtendaji wa serikali wa Kata ya Midizini-Manzese, Penford Kizo na mashuhuda wengine, kifo cha kijana huyo hakijafahamika kimesababishwa na nini.

No comments:

Post a Comment