Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Wednesday, June 18, 2014

BREAKING NUUUZ: BASI LA NEWS FORCE LAUA WAWILI PAPO NA KUJERUHI 40 BAADA YA KUPATA AJALI IGURUSI

Basi la New Force Muda muda mchache baada ya kupata Ajali


Taarifa zilizotufikia Muda mchache ulio pita kutoka Igurusi mkoani mbeya nikwamba Basi la New Force lililokuwa likitokea Dar es salaam kwenda mkoani Mbeya limepata Ajali Mbaya eneo la Igurusi na kusababisha Vifo vya watu wawili vilivyo tokea papo hapo na majeruhi  Arobaini ambapo kwa sasa wamekimbizwa Hospitali ili kuweza kupata msaada, Taarifa kamili na picha zinakuja endelea kufuatilia Hapa hapa 



Na Mbeya Yetu 

No comments:

Post a Comment