Mwili wa marehemu George Tyson ukifika kwenye viwanja vya Leaders Club leo kwa ajili ya kuagwa.
Aliyekuwa Mtayarishaji wa Vipindi vya TV na Muongozaji wa filamu, Marehemu George Tyson aliyefariki kwa ajali ya gari mkoani Morogoro(May 30) ameagwa leo katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam tayari kwa kusafirish hadi nchini Kenya kwa mazishi Jumamosi ijayo (Juni 15)
Aliyekuwa Mtayarishaji wa Vipindi vya TV na Muongozaji wa filamu, Marehemu George Tyson aliyefariki kwa ajali ya gari mkoani Morogoro(May 30) ameagwa leo katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam tayari kwa kusafirish hadi nchini Kenya kwa mazishi Jumamosi ijayo (Juni 15)
Dada wa Marehemu Doreen akiwa ameshika picha ya kaka yake baada ya mwili wake kufika kwenye viwanja vya Leaders
Mwili wa Marehemu George Tyson ukipelekwa eneo la kuagia
Baada ya mwili kufikishwa eneo husika
Mboni akiwa Mboni akiwa na mtoto wa Marehemu na Monalisa akilia kwa uchungu
Msanii wa muziki akiimba wimbo wa maombi
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick akizungumza jambo kwenye viwanja vya Leaders, Dar
Wanafunzi wa shule ambayo marehemu alitoka na team yake ya mboni show kutoa madawati
Mwakilishi wa wasanii wa Mwanza
Mboni akilia kwa uchungu alipokuwa anazungumza jambo
Joyce Kiria akilia kwa uchungu alipokuwa anazungumza jambo
No comments:
Post a Comment