Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Monday, June 23, 2014

PICHA ZA TUKIO LA UJAMBAZI NA MAUAJI UBUNGO TAZAMA TUKIO LOTE HAPA


Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi.

Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi.

Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio.

...Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa.
Wananchi wakiwa eneo la tukio.

SISTA wa Parokia ya Makoka iliyopo Kibangu, Dar ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es Salaam hivi punde.
Kabla ya kuuawa sista huyo, dereva wake alipigwa risasi mkononi na majambazi hayo.Chanzo GPL

No comments:

Post a Comment