Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Friday, July 11, 2014

KIBAKA ATANDIIKWA BAADA YA KUKWAPUA PESA JIJINI DAR

Askari kanzu (kulia), akimpeleka kituo cha Polisi Kati, kijana aliyedhaniwa kumkwapua mtu aliyetoka benki ya NBC katika ya Jiji  mpita njia fedha zilizotajwa kufikia sh. mil. 5, maeneo ya Mtaa wa Samora, Dar es Salaam akiwa na wenzake ambao walifanikiwa kukimbia na fedha hizo. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)

No comments:

Post a Comment