Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Tuesday, July 22, 2014

WAFARIKI KATIKA AJALI YA BASI LA ABIRIA SUPER NAJIMNISA

Hivi punde tumepokea habari mbaya kutoka mkoani Shinyanga, Basi la super Najimnisa limepata ajali mbaya baada ya mipira ya matairi kupasuka,unaambiwa wapo baadhi ya waliokufa na majeruhi ni wengi sana na bado hatua za kuokoa bado zinaendelea muda huu, tutaendelea kuwajuza kupitia kwa mtaoa habari wetu ambaye ni msanii alikuwa anatoka mwanza kuelekea Dodoma ambapo waliwa wanashoot muvi huko:

No comments:

Post a Comment