Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Wednesday, August 13, 2014

GARI LA MCHANGA LA PINDUKA NA KUGONGA UKUTA WA NYUMBA MMOJA APOTEZA MAISHA

 Lori la Mchanga linalomilikiwa na kampuni ya CCC ambalo namba zake hazikuonekana mara moja Muda mchache baada ya kupata ajali

 Dereva wa Gari hili aliye Tambulika kwa jina la Victor alifariki papo hapo.

 Mashuhuda wakishuhudia Ajali hiyo

 Gari hilo la Mchanga likiwa limeruka eneo hilo mpaka kuparamia ukuta na Kupinduka

 Utaratibu wa kulinyanyua Gari hilo unafanyika

 Hapo ndipo Gari hilo lililokuwa na Kifusi liliruka mpaka upande wa uzio wa nyumba na Kupinduka

 Kushoto ni Baadhi ya Wachina wafanyakazi wa Kampuni ya CCC



 Mmoja wa wafanyakazi akitoka kuangalia Ajali hiyo
Picha na   Mdau wa Mbeya yetu David Nyembe
 Lori la Mchanga linalomilikiwa na kampuni ya CCC ambalo namba zake hazikuonekana mara moja Muda mchache baada ya kupata ajali
 Dereva wa Gari hili aliye Tambulika kwa jina la Victor alifariki papo hapo.
 Mashuhuda wakishuhudia Ajali hiyo
 Gari hilo la Mchanga likiwa limeruka eneo hilo mpaka kuparamia ukuta na Kupinduka
 Utaratibu wa kulinyanyua Gari hilo unafanyika
 Hapo ndipo Gari hilo lililokuwa na Kifusi liliruka mpaka upande wa uzio wa nyumba na Kupinduka
 Kushoto ni Baadhi ya Wachina wafanyakazi wa Kampuni ya CCC
 Mmoja wa wafanyakazi akitoka kuangalia Ajali hiyo
Picha na   Mdau wa Mbeya yetu David Nyembe

No comments:

Post a Comment