Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Monday, August 11, 2014

PICHA ZA UCHAFU ULIVYO KITHIRI KATIKA SOKO LA SAMAKI KIVUKONI DAR

 Wazoa taka wakiwa kazini katika soko hilo.
WATUMIAJI wa soko la samaki la Kivukoni jijini Dar es Salaam wameulalamikia uongozi wa soko hilo kwa kukithiri kwa uchafu kila sehemu ikiwa ni pamoja  na harufu kali iliyozagaa hapo.
 Gari la kubebea uchafu likijaribu kupunguza taka katika baadhi ya sehemu za soko.
 Mmoja wa wafanyabiashara wa samaki akionyesha samaki anaowauza.
 Samaki wakiwa  kwenye sehemu ya kuwatunzia.
 Mmoja wa wachuuzi akiwa na mfuko wenye dagaa.
 Baadhi ya biashara nyingine zinazofanywa katika eneo hilo.
 Masanduku ya kutunzia samaki.
 Moja ya mandhari za soko hilo.
Wavuvi na wafanyabiashara wakiwa katika shughuli zao.

No comments:

Post a Comment