Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Sunday, September 6, 2015

DALADALA LAACHA NJIA NA KUPARAMIA GENGE KITUNDA JIJINI DAR ES SALAAM

 Wananchi wakiangalia ajali ya gari ambalo ni daladala lenye namba za usajili T 456 BVT lililoacha njia kutokana na mwendokasi na kuparamia genge pamoja na bajaj yenye namba MC 611 ADC, maeneo ya Kitunda relini barabara ya Mombasa kwenda Moshi Baa Dar es Salaam leo asubuhi. Imeelezwa kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendokasi wa daladala kukimbilia abiria. Katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa.
 wananchi wakiangalia ajali hiyo.
Gari(Daladala) hiyo likiwa ndani ya genge baada ya kuacha njia.
Bajaj namba MC 611 ADC, likiwa kando ya daladala hiyo baada ya kugongwa. 
(Imeandaliwa na mtandao wa www. habari za jamii.com)

No comments:

Post a Comment