Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence
Milanzi (katikati), akikata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa Ofisi ya
Tanapa jijini Dar es Salaam. Wa pili kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa
Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan Kijazi.
Katibu
Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi
(katikati), akikata utepe wakati wa uzinduzi rasmi wa Ofisi ya Tanapa
jijini Dar es Salaam.
Katibu
Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Meja Jenerali Gaudence Milanzi
akiangalia ofisi mpya ya TANAPA iliyopo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), Allan
Kijazi.
Kuangalia ofisi.
Jengo la Ofisi za TANAPA zilizopo Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment