Je unatamani kulima kilimo biashara bila kujali ni zao gani?
Je ardhi yako imekosa rutuba na kushindwa kuleta matokeo chanya katika kilimo?
Je umekosa soko la mazao yako kwa ajili ya mazao hayo kukosa ubora? Je unatamani kilimo kiwe ajira kwako inayokupa fedha za kutosha ?
Je umekuwa ukilima na kukosa matokeo mazuri kwa kukosa mfuatiliaji wa mazao yako ?
Je ulitamani kulima kiangazi na upate mazao ya kutosha?
Kwa hayo na kupata masoko ya matunda kama papai,na nanasi
kutana nasi tutakusimamia mazao yako na kuhakikisha umepata Mara 2 - 3 ya mategemeo yako kwa kutumia kirutubisho chetu cha asili nitafute 0718542408
Follow us @healthy_crops @ Dar es Salaam, Tanzania
No comments:
Post a Comment