Zaidi ya abiria 40 waliokuwemo kwenye basi la New Force wamepona kufariki baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana na rili aina ya fuso maeneo ya Inyalabasi la new force lilikuwa linatokea mkoani Mbeya kuelekea Dar es salaam |
Hili roli aina ya fuso ndilo lililosababisha ajali hiyo kwani lilikuwa lilikuwalinalipita gari lingine bila ya kuangalia kama gari nyingine inashuka mlima na ndipo lilipokutana na basi hilo |
Hii ndiyo hali halisi ya ajali hiyo dreva wa fuso kakimbia baada ya kusababisha ajali hiyo |
baadhi ya majeruhi wakiwa wameruhusiwa baada ya kupatiwa matibabu, |
No comments:
Post a Comment