Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Thursday, November 14, 2013

GARI LA ABIRIA LAPATA AJALI KITWIRU MKOANI IRINGA

 Gari lenye namba  za usajili T606 BJB  lilolokuwa likifanya safari zake Ifunda hadi Stand kuu ya Iringa limepata ajali eneo la Kitwiru baada ya kugongana na  Lori lenye namba T 234 CLU ambalo ni Mali ya T.H Clements & Son LTD , Ajali hii ilitokea baada ya Dereva wa basi hilo la abiria alipojaribu kulipita Lori hilo bila mafanikio na watu watatu wamejeruhiwa katika ajali hiyo. (Picha na Said Ng'amilo)




No comments:

Post a Comment