Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Wednesday, November 6, 2013

WADAU WA MFUKO WA BIMA YA AFYA MKOA WA NJOMBE WAKUTANA LEO



Kaimu Mkurugenzi mkuu  wa NHIF Hamisi Mdee akitoa taarifa ya Utekelezaji ya kuanzia 2001 hadi June 2013,
Mwenyekiti wa Bodi ya NHIF Balozi Ali  Mchumo akitoa salamu za NHIF kwa washiriki wa mkutano
RAS wa Njombe akisoma hotuba kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Njombe Ktp. Mstaafu Assery Msangi, amesisitiza umuhimu wa kufanya NHIF/CHF/TIKA kuwa ajenda ya kudumu katika vikao vyote vya maamuzi mkoani humo ili hatimaye wakazi wote wa mkoa wa Njombe wapate huduma za matibabu kupitia utaratibu wa kuchagia kabla
meneja uendeshaji wa NHIF, Salome Manyama akiwasilisha mada katika mkutano huo, picha ya tano wadau wa mkoa a Njombe wakifuatilia mada..

No comments:

Post a Comment