Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Monday, February 10, 2014

BREAKING NEWS;;MVUA KUBWA YENYE UPEPO MKALI YAEZUA PAA LA DARASA NA NYUMBA YA MWALIMU WILAYANI HAI

 
 Moja ya Madarasa yakiwa yameharibiwa vibaya na Mvua na kusababisha kuezua paa na kubomoa Darasa hilo

 Hivi ndivyo Darasa hilo Lilivyo Bomoka Baada ya Mvua hizo kuezua Paa
 Baadhi ya miti ikiwa imeangushwa chini na mvua kubwa iliyo sababishwa na  Mvua kali iliyo ambatana na upepo mkali na radi,
 Nyumba ya Mwalimu ambayo ilikuwa inajengwa na paa Juu likiwa tayari lakini , mvua kubwa imeliezua
Hili ni Paa la nyumba ya Mwalimu  ambalo limeezuliwa na mvua.

Picha na Joshua

No comments:

Post a Comment