Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Monday, February 17, 2014

NEWS LIVE MUDA HUU: DALADALA MWANZA ZAGOMA KUTOA HUDUMA ZA USAFIRISHAJI ABIRIA.

 Hili ni Gari dogo likiwa linatumika kusafirisha  abiria baada ya daladala hizo kugoma wakipinga faini wanazotozwa na trafiki ni kubwa  , na baadae madereva wa daladala kusimamisha na kushusha abiria hao.

 Pikipiki aina ya Toyo  maarufu kama (Kilimo kwanza) ikiwa imebeba abiria  kutokana na shida ya usafiri jijini Mwanza mda huu baada ya madereva kugoma...
Chanzo; Mwanza yetu Blog 

No comments:

Post a Comment