uokoaji baada ya ajali kutokea hapo linaonekana basi la abiria (UDA) likiwa limenyanyuliwa juu
basi kampuni ya uda jinsi lilivyo gongwa
umati wa watu ukiwa unashuhudia tukio la gari kugonga magari
washuhudiaji wakiwa katika hari ya mshangao
uokoaji ukiwa unaendelea
Ajari ya lori imetokea ubungo geti la kutokea baada ya lori hilo kushindwa kushika break ambapo limegonga magari mengine matano na pikipiki moja
No comments:
Post a Comment