Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Thursday, April 17, 2014

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI KATIKA BUNGE LA KATIBA

 Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu                                      Mhe.Samia Suluhu akiwa anafuatilia mchango wa Mhe.William Lukuvi kwa makini.
Hali ya hewa yarejea kuwa ya kawaida bunge maalum la katiba mjini Dodoma leo

  Hali ya Ukumbi Ulivyo kuwa Leo ambapo  Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini na ustaarabu wa hali ya juu.
 Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu na mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, William Lukuvi akichangia Bungeni Mjini  Dodoma  leo
 Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglican Tanzania, Donald Mtetemela akichangia Bungeni mjini Dodoma leo
  Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe Kuga Mziray akichangia Bungeni Mjini Dodoma Aprili 17, 2014.
Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samueli Sitta (wapili kushoto wakizungumza na Beatrice Shellukindo (wapili kulia) na Riziki Lulida (kulia) kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma  leo Aprili 17, 2014. 
Bunge limehairishwa mpaka tarehe 22/04/2014
(Picha na Ofisi ya  Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment