
 Mzee huyo mwenye umri wa miaka 66 akiwa amejinyonga katika eneo la Kijiji cha Kalela Mkoani Rukwa.

 Mzee huyo akiwa amejipiga kitanzi

 Hivi ndivyo anavyo onekana Miguu ikiwa imeelea Juu

 Mashuhuda wakiwa wanashuhudia Tukio hilo

 Mwili wa Marehemu ukiwa unatolewa eneo la tukio.
Picha zote na Rukwa yetu Blog
No comments:
Post a Comment