Aliye vaa vest nyeupe ni kibaka aliyekuwa akitaka kuiba akiwa ameshikwa na Polisi jamii aliyevua shati kupambana na Kibaka huyo.
Baadhi ya Vijana wakitaka kumtandika kijana huyo mwizi
Kibaka huyo akiwa amelala baada ya kupigwa na vijana wenye Hasira kali
Aliye vua shati ni Askari wa ulinzi shirikishi akiwa anawasiliana na wenzake kuja kumchukua kibaka huyo.
No comments:
Post a Comment