Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Thursday, July 24, 2014

HOT NEWS: LICHA YA MGOGORO WA KANISA KUSURUHISHWA NA SERIKALI KANISA LAWATIMUA WACHUNGAJI SITA. WALIOSIMAMISHWA WAJA NA TAMKO ZITO. SOMA BARUA ZOTE HAPA

 Wiki moja baada ya mgogoro kanisa la Moravian Jimbo la kusini Magharibi kudaiwa kumalizika mapya yaibuka wachungaji wake Sita wasimamishwa kutoa huduma ya kiroho



 Makamu mwenyekiti Zacharia Sichone adaiwa kukiuka maazimio ya ya kikao cha usuluhishi kilichofanyika kwa mkuu wa wilaya ya Mbeya Dk . Norman Sigalla cha julai 16 Mwaka huu

 Wachungani waliosimamishwa waja juu na kutoa tamko zito



No comments:

Post a Comment