Uzembe wa madereva ndio chanzo cha ajali nyingi hapa nchini hii imedhihirika hapa jijini dar maeneo ya bunju siku ya leo
Ambapo dereva wa lori alikuwa kasi kwaajili ya kutaka kulipita gari dogo aina ya noah lililokuwa mbele yake wakati huo gari hilo dogo lilikuwa likikunja kona kwaajiri ya kuingia sehemu
Hakuna taarifa ya kifo iliyo thibitika mpaka sasa katika ajali hiyo
No comments:
Post a Comment