Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Monday, July 28, 2014

UONGOZI WA CHUO NA HOSPITALI YA IMTU WAFIKISHWA MAHAKAMA YA KINONDONI KWA TUHUMA ZA KESI YA KUTUPA MAITI ZA WATU

 Viongozi wa Chuo Kikuu cha Kimataifa cha Tiba (IMTU) cha Dar es salaam wamefikishwa mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Kinondoni leo wakikabiliwa na mashtaka ya kutupa ovyo viungo vya binadamu. Wakati taarifa kamili ikiandaliwa hebu jionee taswira hizi walipofikshwa mahakamani leo


 Watuhumkiwa wakiwa katika gari la polisi 


 Watuhumiwa wakipanda gari baada ya kusomewa mashitaka

 Watuhumiwa wakitoka mahakamani baada ya kusomewa mashitaka


Watuhumiwa wakiwa wanasubiri kuingia mahakamani.

Picha na Sultani Kipingo wa Blog ya Jamii

No comments:

Post a Comment