
Waziri wa Uchukuzi,
Dk. Harrison Mwakyembe (wa tatu kutoka kulia) Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya kudumu
ya Miundombinu, Peter Serukamba, Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu Serikali
ya Mapunduzi ya Zanzibar, Dk. Juma Akir (kushoto)
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafii wa Anga Tanzania(TCCA) Dk. Nyamajeje Weggoro, wakishirikiana
kukata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo la TCAA. Uzinduzi huo ulikua sehemu ya
maadhimisho ya Siku yaKimataifa ya Usafiri wa Anga Duniani (ICAD).

Waziri wa
uchukuzi Dk. Harrison Mwakyembe (Katikati) Katibu Mkuu wa Wizara ya Miundombinu Serikali
ya Mapunduzi ya Zanzibar, Dk. Juma Akir,(
kushoto) Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu Peter Serukamba ,Makamu Mwenyekiti
wa Bodi ya Mamlaka ya Usafii wa Anga Tanzania(TCCA), Dk.
Nyamajeje Weggoro (kulia) na Kaimu Mkurugenzi Mkuu Mamlaka ya Usafiri wa
Anga Tanzania, Charles Chacha, wakishangilia baada ya kuzindua jengo la TCCA wakati
wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Usafiri wa Anga Duniani(ICAD)
yaliyofanyika kwenye viwanja vya TCCA jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Uchukuzi, Mh. Dk.
Harrison Mwakyembe, akizindua jengo la Makao Makuu ya Mamlaka ya Usafiri wa
Anga Tanzania (TCAA). Uzinduzi huo ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya Kimataifa
ya Usafiri wa Anga Duniani(ICAD). Anayeshuhudia kulia ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu
TCAA, Bw. Charles Chacha.
No comments:
Post a Comment