Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Friday, April 3, 2015

MASHABIKI WATANO WA TIMU YA SIMBA WAPOTEZA MAISAHA KATIKA AJALI ILIYOTOKEA MOROGORO LEO

Watu watano wamefariki dunia papo hapo na wengine 15 kujeruhiwa baada ya basi waliokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Shinyanga kupinduka mkoani Morogoro. Kwa taarifa za mwanzo zinasema kuwa watu waliokuwa wamepada basi hilo ni mashabiki wa Timu ya Simba waliokuwa wanatoka Dar es Salaam wakielekea Shinyanga kwa ajili ya kushabikia timu yao ya Simba katika mechi iliyokuwa inawakabiri hapo  kesho.
Askari wa  kitengo cha usalama barabarani, akichukua maelezo  ya ajali  kutoka kwa mmoja wa abiria waliokuwa kwenye gari ilo
Muonekano wa basi la mashabiki wa timu ya simba mara baada ya kutolewa sehemu lilipo pata ajali hiyo
Askari polisi wakiwa na mashabiki katika picha wakati wa kuchukua taarifa za ajali hiyo

No comments:

Post a Comment