Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Tuesday, May 13, 2014

NEWS::MLEMAVU WA NGOZI AUWAWA KWA KUKATWA MAPANGA NA KUCHUKULIWA BAADHI YA VIUNGO VYAKE.

MAREHEMU Nughu Lugata ambaye ni albino ameuawa kwa kukatwa  viungo vyake na   kuchukuliwa na watu wasiojulikana jana majira ya saa moja jioni huko Bariadi mkoani Simiy

Nughu Mlemavu wa ngozi ambaye ameuawa kwa kukatwa mapanga kwa baadhi ya viungo vyake na kuondoka navyo 
Viungo vilivyo katwa ni mguu wa kushoto na vidole vitatu  na watu wasiojulikana.


Marehemu alikuwa mkazi wa Gasuma akijishughulisha na kilimo.

No comments:

Post a Comment