Social Icons

HII

WASILIANA NASI KUPITIA. E-mail: ngambabakari@gmail.com., Namba ya simu +255 657 185 504 Pia waweza kutujuza kwa lolote linalo endelea sehemu uliyopo

kachumbari

kachumbari

Tuesday, April 14, 2015

RADI YAUA WATU 8 NA KUJERUHI WENGINE15 MKOAN KIGOMA

watu 8 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 15 wamejeruhiwa baada ya kupigwa na radi mkoani kigoma eneo la Kibirizi ,wakiwemo  wanafunzi 7 na mwalimu 1 wamefariki dunia kutokana na  mvua kubwa
iliyoambatana radi 
endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.
Chanzo ITV Tanzania

No comments:

Post a Comment